Tumeunganishwa katika upendo
Shuhudia jinsi KKKT Digital inavyowaunganisha waumini kupitia teknolojia na imani. Pata mahubiri, matukio, na nyenzo za kiroho mkononi mwako.
Una swali au maoni? Tafadhali jaza fomu hapa chini, na tutaribu kurudisha majibu haraka iwezekanavyo.
Karibu KKKT Digital, Kituo chako cha Kuungana na jumuiya ya kiimani popote ulipo. Pata huduma za kiroho, matukio na mafundisho kwa urahisi zaidi.
KKKT Digital ni mfumo rasmi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) unaolenga kuimarisha ushirika kati ya Kanisa na waumini wake kwa njia ya teknolojia. Kupitia mfumo huu, kila msharika anaweza kupata taarifa muhimu za Kanisa popote alipo kupitia SMS, WhatsApp, Barua Pepe, na majukwaa mengine ya kidijitali.
Kupitia KKKT Digital, waumini hupokea muhtasari wa mahubiri, taarifa za matukio, elimu ya stadi za maisha, na mafunzo mengine kama ujasiriamali, teknolojia, malezi ya vijana, na mambo mengine yanayolenga kukuza huduma na imani ya kikristo.
Shuhudia jinsi KKKT Digital inavyowaunganisha waumini kupitia teknolojia na imani. Pata mahubiri, matukio, na nyenzo za kiroho mkononi mwako.
Chagua kifurushi kinachofaa mahitaji yako ya kiroho na familia yako
Usikose fursa ya kuungana nasi katika matukio mbalimbali ya kiimani na kijamii.
Kuwaimarisha vijana kwa maendeleo ya Kanisa na jamii endelevu.
Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM)
TSh 220,000
30 Juni 2026
Kuwaimarisha Vijana kwa Maendeleo ya Kanisa na jamii endelevu