by Rev. Dr. Allen Adam Mbiso
Udhihirisho wa Roho Saba za Mungu ni mwongozo wa kibiblia unaofafanua utendaji wa Roho ya Bwana, hekima, ufahamu, shauri, uweza, maarifa na kumcha Bwana katika maisha ya mwamini. Kitabu kinaonesha jinsi ushirika wa karibu na Roho Mtakatifu unavyoweza kuleta ujasiri, maamuzi sahihi, nguvu ya kutimiza kusudi la Mungu, ukuaji wa kiroho na maisha yenye matunda. Kwa mafundisho yake ya kina, utajifunza kutambua uongozi wa Mungu, kushinda changamoto na kuishi kwa hekima, utii na mamlaka ya kiroho. Hii ni eBook muhimu kwa kila Mkristo anayetaka kuongezeka katika ufunuo, utumishi na nguvu za Mungu. Wasiliana na Mwandishi kupitia: